×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Seneta Gedion Moi ataka serikali kutoa hati kwa wakaaji wa Mochongoi

28th June, 2015

Seneta wa baringo gideon moi ameitaka serikali kuharakisha shguli ya utoaji wa hati za umiliki wa mashamba kwa baadhi ya wakaazi eneo la mochongoi. Akizungumza na wakaazi eneo la komoriot mapema hii leo baada ya kuhudhuria ibada katika kanisa la aic komoriot. Gideon alielezea matumaini yake anatarajia serikali itawasilisha hati hizo kabla ya mwisho wa mwaka, ikizingatiwa kuwa wakaazi hao wamekaa bila hati hizo kwa muda wa miaka kumi na miwili wenyeji na viongozi waliokuwepo kwenye mkutano huo walitoa lalama za kukumbwa na ugumu wa kupata mikopo kwa kutumia mashamba waliyokabidhiwa vile vile aliitaka serikali kuwalipa fidia wale waliopoteza makao na mali kutokana na ukosefu wa usalama. Hata hivyo ametoa hakikisho la amani kurejea kufuatia mikakati iliyoafikiwa katika mkutano wa viongozi wa eneo hilo.
.
RELATED VIDEOS