The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Watu sita wamefariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa baada ya matatu iliyokuwa ikitoka mjini Eldoret kupoteza mwelekeo na kubiringirika kwenye eneo hatari la Sachangwan Barabara Kuu ya Nakuru-Eldoret.
Kamanda wa Polisi wa Molo Mwenda Muthamia, amesema kuwa wanawake wanne na mwanamume mmoja wamefariki dunia papo hapo huku abiria wengine wanane wakijeruhiwa jana usiku. Majeruhiwa wanatibiwa katika Hospitali ya Molo
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.