×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]
Premium

Idadi ya watu walioripotiwa kutoweka yafikia 360; limesema Shirika la Msalaba Mwekundu

News

Familia zilizowapoteza wapendwa wao katika eneo la Shakahola kaunti ya Kilifi zinazoendelea kujitokeza huku idadi ya watu walioripotiwa kupotea ikiongezeka hadi 360.Kulingana na mshirikishi wa Shirika la Msalaba Mwekundu eneo la Pwani Hassan Musa, watu 198 miongoni mwa waliopotea ni walio chini ya miaka kumi na minane.Musa aidha anadai kuwa hatua hiyo inadhihirisha kuwa watoto wameathirika zaidi na matukio yanayofungamana na dini ya mchungaji Paul Mackenzie.Wakati uo huo, Musa amebainisha kuwa huenda ikachukua muda mrefu familia hizo kuwatambua wapendwa wao kutokana na kile anachodai kuwa huenda wengine bado wamesalia katika msitu wa Shakahola.Haya yanajiri huku upasuaji wa miili inayoendelea kufukuliwa ukitarajiwa kuaanza hapo kesho .

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week