Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Christ Is The Answer Ministry, CITAM, David Oginde ndiye Mwenyekiti mpya wa Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi, EACC.
Oginde anachukua nafasi ya Eliud Wabukhala aliyestaafu baada ya kukamilisha muhula wake katika EACC.