Abraham Serem ndiye Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya KenGen baada ya kuteuliwa kushikilia wadhifa huo. Serem anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Rebecca Miano ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Maeneo Kame na Maendeleo katika Maeneo. Katika notisi iliyochapishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Kengen, Samson Mwathethe kwenye magazeti ya humu nchini leo hii, imesema kwamba Serem atahudumu katika wadhifa huo hadi wakati mtu mwingine atakapoteuliwa kwa wadhifa huo. Serem amekuwa akihudumu katika wadhifa wa Meneja Mkuu vilevile mkuu wa wafanyakazi tangu Machi mwaka 2016. Ana tajriba ya miaka 20 katika kitengo cha kuwahudumia wafanyakazi, HR.
Premium
Abraham Serem Ateuliwa kuwa Kaimu Afisa Mkuu Mtendaji wa KenGen
News
By Beatrice Maganga | Oct. 29, 2022 | 1 min read
.
Trending Now
- Why tropical diseases still plague the poor in Kenya
- Want brainy children? Try eggs
- Calls for new methods to contain cholera outbreak
- Are 'probiotics' really helpful to health?
- Cervical cancer: The one thing you can do to stop it
- House girls from hell: They watch porn with your kids
- How Covid-19 made way for big steps in health technology
- Ministry confirms 61 cases of Cholera in six Counties
- New 'Kete' drug making Isiolo men and boys bleed for days from the rectum
- Why we should mourn end of competition in schools
.
Popular this week
- Why tropical diseases still plague the poor in Kenya
- Cervical cancer: The one thing you can do to stop it
- Are 'probiotics' really helpful to health?
- Calls for new methods to contain cholera outbreak
- How Covid-19 made way for big steps in health technology
- House girls from hell: They watch porn with your kids
- Schools affected in heads mass transfer as students resume class
- Bank dollar market rate hits record Sh134 on high demand
- Plastic choking waterways despite existing policies
- Want brainy children? Try eggs
.
Similar Articles
.