Waziri wa Elimu Profesa George Magoha amesema tarehe ya kurejelewa rasmi kwa shughuli za elimu nchini baada ya kipindi cha wiki mbili itasalia jinsi ilivyo yaani kesho Alhamisi tarehe 18.
Shule zilifungwa kwa wiki mbili kupisha maandalizi ya uchaguzi uliofanyika tarehe tisa mwezi huu.