×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Kenyatta azindua rasmi Nairobi Expressway baada ya ujenzi wake kukamilika

Rais, Uhuru Kenyatta hatimaye amezindua rasmi matumizi ya barabara ya mwendo-kasi ya Nairobi Express Way baada ya ujenzi wake kukamilika.

Akizungumza wakati wa shughuli ya uzinduzi huo, Rais amesema kwamba chini ya uongozi wake Kenya imepiga hatua kubwa katika kuimarisha muundo msingi.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in