Niliposema mliona kana kwamba nina ajenda dhidi ya serikali. Nilipoyachapisha mlichukulia mambo niliyosema kama dondoo za hapa na pale. Aliposema Raila Odinga baadhi ya wabakaji wa haki za wakenya walituchafulia anga kwa kusema kuwa Raila Odinga ni mfalme wa umaskini. Sasa basi maji yamemwagika.