The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mbunge wa Jubilee Maina Kamanda akiongea katika kanisa la Katoliki eno la Ol Jaoro Rok Catholic church na Mbunge wa Kapseret MP Oscar Sudi ambaye ni mfuasi sugu wa Naibu Rais William Ruto na timu ya Tanga Tanga.
Yalianza kama makundi yenye misimamo kinzani ya kisiasa nchini, lakini kadri muda ulivyosonga, siku zika pita, Kieleweke na Tanga Tanga yakaibukia kuwa makundi mawili ya kisiasa tajika yaliyo kita mizizi katika ulingo wa kisiasa huku kila upande ukijitahidi kunadi sera zake ili kuwashawishi wananchi kuwaunga mkono.
Mwaka uliopita baada Rais Uhuru Kenyatta na aliye kuwa waziri mkuu Raila Odinga kukubaliana kufanya kazi kwa pamoja maarufu kama ‘Handisheki’ mirengo miwili ya kisiasa ikabuniwa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.