×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Kiunjuri ang’atwa na nzige wa Uhuru

Aliyekuwa waziri wa Kilimo, Mwangi Kiunjuri.

Mabadiliko ya baraza la mawaziri ya Rais Uhuru Kenyatta yanaendelea kupokelewa kwa mikono tofauti na hisia mbali mbali haswa baada ya kumtimua kazi waziri wa Kilimo, Mwangi Kiunjuri.

Nafasi yake imechukuliwa na Peter Munya. Kiunjuri amefungashwa kuelekea nyumbani wakati wizara yake inazuzushwa na Nzige ambao wanaendelea kuvamia maelfu ya mimea na mazao kaskazini mwa Kenya.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in