The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Picha hii inaonyesha sehehu moja kisiwani Mombasa katika miaka ya 1940 na 1950 yenye msitu ambao yasemekana mlikuwemo wanyama pori hususan simba na chui.
Leo hii Mombasa ni mji uliokua na kujengwa si haba, huku matokeo ya hesabu ya watu yalotolewa majuzi yakionyesha kwamba sasa hivi Mombasa iko na idadi ya watu 1,208,333.
Mji huu ambao ndio kitovu cha biashara na viwanda katika eneo la pwani pamoja na kuwa mji mkuu wa pili nchini, uko na historia ndefu ambayo imejumulisha karne nyingi zilizopita.
Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today