The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Picha hii inaonyesha sehehu moja kisiwani Mombasa katika miaka ya 1940 na 1950 yenye msitu ambao yasemekana mlikuwemo wanyama pori hususan simba na chui.
Leo hii Mombasa ni mji uliokua na kujengwa si haba, huku matokeo ya hesabu ya watu yalotolewa majuzi yakionyesha kwamba sasa hivi Mombasa iko na idadi ya watu 1,208,333.
Mji huu ambao ndio kitovu cha biashara na viwanda katika eneo la pwani pamoja na kuwa mji mkuu wa pili nchini, uko na historia ndefu ambayo imejumulisha karne nyingi zilizopita.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.