Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Wajua kuwa kisiwa cha Mombasa kilikuwa ni zizi la simba na chui?

Picha hii inaonyesha sehehu moja kisiwani Mombasa katika miaka ya 1940 na 1950 yenye msitu ambao yasemekana mlikuwemo wanyama pori hususan simba na chui.

Leo hii Mombasa ni mji uliokua na kujengwa si haba, huku matokeo ya hesabu ya watu yalotolewa majuzi yakionyesha kwamba sasa hivi Mombasa iko na idadi ya watu 1,208,333.

Mji huu ambao ndio kitovu cha biashara na viwanda katika eneo la pwani pamoja na kuwa mji mkuu wa pili nchini, uko na historia ndefu ambayo imejumulisha karne nyingi zilizopita.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News