×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now

KNUT: Sossion atajua maharagwe ni mboga

Wilson Sossion.

Muungano wa waalimu nchini KNUT umejulikana kwa mda mrefu kama muungano wa kutetea msalahi ya wanachama wake kwa ari na nguvu ya kipekee kutokana na wingi wa wananchama wake ambao ni walimu wa shule za msingi na baadhi ya wale wa shule za upili.

Maafisa wake wakuu ambao wamekuwa wakichaguliwa ndani ya fani ya ukufunzi, ama waliokuwa walimu kwa wakati mmoja, wameonakana kunoa makali kila kuchao kukabiliana na muajiri wa waalimu wa shule za umma ambayo ni Tume ya kuajiri Waalimu TSC.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in