×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Mizimu yawasukuma wazungu Marekani kuregesha vigango

Waziri Amina Mohamed akiwakabidhi wakili Joesph Mwarandu aliye pia Mzee wa Kaya.

Vigango 30 ambavyo viliibwa miongo kadhaa iliyopita na kupelekwa katika taifa la Marekani sasa vimeregeshwa humu nchini.

Kwa kawaida ya jamii ya wamijikenda, wakati wa sherehe kama hii, wahudhuria huangua kilio ambacho waombolezaji huamini wazi kuwa kinasaidia kuiweka mizimu ya mababu na mababu zao kufikiwa na kineme cha amani waliko lala pema peponi.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in