Vigango 30 ambavyo viliibwa miongo kadhaa iliyopita na kupelekwa katika taifa la Marekani sasa vimeregeshwa humu nchini.
Kwa kawaida ya jamii ya wamijikenda, wakati wa sherehe kama hii, wahudhuria huangua kilio ambacho waombolezaji huamini wazi kuwa kinasaidia kuiweka mizimu ya mababu na mababu zao kufikiwa na kineme cha amani waliko lala pema peponi.