×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download Now

Jengo la Jubilee Mombasa kuuzwa

Farid Swaleh, mwanaharakati wa Jubilee na mdhamini wa kodi ya afisi za chama kaunti ya Mombasa.

Hofu imeanza kuwaingia wafuasi wa chama tawala cha serikali cha Jubilee katika kaunti ya Mombasa kufuatia ilani kutoka kwa mwenye jengo linalositiri afisi za chama tawi la kaunti kwamba nyumba inauzwa. Jengo hili ambalo limo katika maeneo ya Tudor, yakadiriwa mwenyewe anataka kuliuzwa kwa jumla ya shilingi 60 milioni.

Hii inamaanisha kwamba chama cha Jubilee katika kaunti ya Mombasa lazima kigurishwe (kuhamishwa) hadi kwa makao mengine licha ya kuwa kitaifa, kimeanza kuteteleka. Ingawa hivyo, baadhi ya wafuasi wa Jubilee wa kaunti wanachukulia hatua na msukumo wa kuuza jengo hili lenye afisi za chama kuwa njama fiche ya kisiasa kutaka kuaibisha chama hiki cha serikali. Kodi ya nyumba hii imekuwa ikilipwa na mratibu wa chama jimbo la pwani, Farid Swaleh.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Stories Shape Kenya. Support Credible Journalism
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in