Huenda maeneo bunge zaidi ya 27 nchini yakavunjwa baada ya zoezi la sensa kukamilika mnamo mwezi Agosti.
Siyo habari njema kwa wengi lakini hali hii ndivyo ilivyo licha ya sheria za nchi zenye kugeuzwa kila uchao, hata maisha ya mwanaadamu yamo hatarini kwani so tulitoka kwa udongo na tutarudi wa huo udongo.