×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Wanawiri kwa vipepeo na unga kutoka kwa mchicha

Amos Mwamburi achuchumaa kuingia katika mimea pori minene iliyojiviringa ndani ya ngome iliyotengenezwa na wavu. Anafikia jani moja pana na kuligeuza, kwa ukaribu sana analifanyia utafiti wa uso wake. Anapiga hatua kwa mmea unaofuata na kurudia uchunguzi huo huo. Mwisho wa nyuma ya ngome, vijana wawili wa kiume wameinamia mimea ya maua, wakiyaangalia majani kwa makini na ustadi.”

“Nimepata kadhaa hapa,” Bwana Mwamburi atoa wito. Upande wa chini wa jani aliloshika, anaonyesha vijitu vingi duara na rangi ya kijivu-nyeusi, mayai ya vipepeo, vimeingia na kujishikilia imara juu ya uso wa kijani. Anakwanyua jani kwa umakini kutoka kwa shina na kuliweka ndani ya ndoo ya plastiki.

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in