×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Je, huenda Kenya ikafuata mkondo huu mwaka 2017?

Hivi majuzi, tumeshuhudia mabadiliko ya kisiasa katika mataifa mbali mbali ulimwenguni. Kati ya mabadiliko haya ni kung'olewa mamlakani kwa viongozi ambao wamekuwa mamlakani kwa muda mrefu. Vile vile vyama vya kisiasa ambavyo vimekuwa katika upinzani vimeweza kutwaa hatamu za uongozi.

Hapa barani Afrika ni nadra sana kwa rais aliye mamlakani kushindwa katika uchaguzi hadi aamue yeye mwenyewe kutogombea kiti cha urais. Hili ni jambo ambalo linaonekana kuwakera watu wengi na kulingana na hali ilivyo kwa sasa, huenda mtindo huu wa kiimla ukakomeshwa na wapigaji kura.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902