The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Hivi majuzi, tumeshuhudia mabadiliko ya kisiasa katika mataifa mbali mbali ulimwenguni. Kati ya mabadiliko haya ni kung'olewa mamlakani kwa viongozi ambao wamekuwa mamlakani kwa muda mrefu. Vile vile vyama vya kisiasa ambavyo vimekuwa katika upinzani vimeweza kutwaa hatamu za uongozi.
Hapa barani Afrika ni nadra sana kwa rais aliye mamlakani kushindwa katika uchaguzi hadi aamue yeye mwenyewe kutogombea kiti cha urais. Hili ni jambo ambalo linaonekana kuwakera watu wengi na kulingana na hali ilivyo kwa sasa, huenda mtindo huu wa kiimla ukakomeshwa na wapigaji kura.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.