×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Je, Barak Obama aweza kuleta amani ya kudumu Sudan Kusini?

Kungamano ililosimamiwa na rais Obama pamoja na marais kutoka Kenya, Uganda na Ethiopia na mawakilishi wa Riak Machar na Salva Kir ni nafasi ya mwisho kupata suluhu kwa janga na maafa ya vita vilivyoikumba taifa la Sudan Kusini. Bwana Obama amedhihirisha bayana kwamba kama mazungumuzo hayatapata mafanikio, basi hakutakuwa na njia nyingine isipokuwa kuwawekea mahasimu hao vikwazo vya kiuchumi.

Mbarika ya Sudan Kusini ni donda ngumu kuponya. Kunayo changamoto tofauti zinazoungana pamoja kuzorotesha hali ya usalama huko.  Jambo la kwanza ni kutapakaa kote Sudan Kusini kwa silaha ndogo kwa ajili ya miaka mingi ya vita nchini humo. Itabidi jamii ya kimataifa ipate njia ya kuzuia uagizaji wa silaha nchini humo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902