The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kungamano ililosimamiwa na rais Obama pamoja na marais kutoka Kenya, Uganda na Ethiopia na mawakilishi wa Riak Machar na Salva Kir ni nafasi ya mwisho kupata suluhu kwa janga na maafa ya vita vilivyoikumba taifa la Sudan Kusini. Bwana Obama amedhihirisha bayana kwamba kama mazungumuzo hayatapata mafanikio, basi hakutakuwa na njia nyingine isipokuwa kuwawekea mahasimu hao vikwazo vya kiuchumi.
Mbarika ya Sudan Kusini ni donda ngumu kuponya. Kunayo changamoto tofauti zinazoungana pamoja kuzorotesha hali ya usalama huko. Jambo la kwanza ni kutapakaa kote Sudan Kusini kwa silaha ndogo kwa ajili ya miaka mingi ya vita nchini humo. Itabidi jamii ya kimataifa ipate njia ya kuzuia uagizaji wa silaha nchini humo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.