The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia dhuluma wanazozipitia wanaume mikononi mwa wake zao katili. Hivi majuzi mwanaume mmoja kajipata matatani baada ya sehemu yake nyeti kukatwa. Kisa kingine cha hivi majuzi inatamausha kwani mwanamke mmoja kamchoma kisu mpenziwe mgongoni na pia kinena chake.Visa vingi vya aina hii inakera moyo ikizingatiwa kuwa inaenda kinyume na mantiki ya kibinadamu.
Wasemavyo weledi wa lugha, aliyeumwa na nyoka akiona ung’ong’o hushtuka.Ukweli wa kauli hii unadhihirika katika jamii zetu pale ambapo wanaume wameasi majukumu yao ya kifamilia ili kukwepa dhuluma watakazokumbana nazo.Takwimu zinaonyesha kuwa dhuluma za aina hii huchangia pakubwa na ndio msingi wa kuvunjika kwa ndoa. Aidha huwaathiri watoto ikikumbukwa kuwa wanahitaji uzazi mwema kutoka kwa wazazi wao.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.