Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Tusiwadhulumu waume zetu

Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia dhuluma wanazozipitia wanaume mikononi mwa wake zao katili. Hivi majuzi mwanaume mmoja kajipata matatani baada ya sehemu yake nyeti kukatwa. Kisa kingine cha hivi majuzi inatamausha kwani mwanamke mmoja kamchoma kisu mpenziwe mgongoni na pia kinena chake.Visa vingi vya aina hii inakera moyo ikizingatiwa kuwa inaenda kinyume na mantiki ya kibinadamu.

Wasemavyo weledi wa  lugha, aliyeumwa na nyoka akiona ung’ong’o hushtuka.Ukweli wa kauli hii unadhihirika katika jamii zetu pale ambapo wanaume wameasi majukumu yao ya kifamilia ili kukwepa dhuluma watakazokumbana nazo.Takwimu zinaonyesha kuwa dhuluma za aina hii huchangia pakubwa na ndio msingi wa kuvunjika kwa ndoa. Aidha huwaathiri watoto ikikumbukwa kuwa wanahitaji uzazi mwema kutoka kwa wazazi wao.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News