×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

CIOC summons CIC Mutula -Swahili

Kamati ya bunge kuhusu katiba sasa inataka kuwepo kwa .  Ushirikiano kati ya mashirika tofauti yanayoshughulikia katiba.  Kamati hiyo ilielezea kutoridhishwa kwao na jinsi utekelezaji wa katiba unavyoendeshwa kwa mwendo wa upole hata hivyo kamati hiyo inayoongozwa na abdikadir mohammed ilisema kuwa ina imani kwamba miswada yote itapitishwa kwa wakati ufaao kufuatia kuchapishwa kwa miswada miwili hii leo huku miswada mengine sita ikitarajiwa kujadiliwa na baraza la mawaziri mapema wiki ijayo
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in