The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kamati ya bunge kuhusu katiba sasa inataka kuwepo kwa . Ushirikiano kati ya mashirika tofauti yanayoshughulikia katiba. Kamati hiyo ilielezea kutoridhishwa kwao na jinsi utekelezaji wa katiba unavyoendeshwa kwa mwendo wa upole hata hivyo kamati hiyo inayoongozwa na abdikadir mohammed ilisema kuwa ina imani kwamba miswada yote itapitishwa kwa wakati ufaao kufuatia kuchapishwa kwa miswada miwili hii leo huku miswada mengine sita ikitarajiwa kujadiliwa na baraza la mawaziri mapema wiki ijayo
Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.