×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

CIOC summons CIC Mutula -Swahili

Kamati ya bunge kuhusu katiba sasa inataka kuwepo kwa .  Ushirikiano kati ya mashirika tofauti yanayoshughulikia katiba.  Kamati hiyo ilielezea kutoridhishwa kwao na jinsi utekelezaji wa katiba unavyoendeshwa kwa mwendo wa upole hata hivyo kamati hiyo inayoongozwa na abdikadir mohammed ilisema kuwa ina imani kwamba miswada yote itapitishwa kwa wakati ufaao kufuatia kuchapishwa kwa miswada miwili hii leo huku miswada mengine sita ikitarajiwa kujadiliwa na baraza la mawaziri mapema wiki ijayo
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in