×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Read on the App

CIOC summons CIC Mutula -Swahili

Kamati ya bunge kuhusu katiba sasa inataka kuwepo kwa .  Ushirikiano kati ya mashirika tofauti yanayoshughulikia katiba.  Kamati hiyo ilielezea kutoridhishwa kwao na jinsi utekelezaji wa katiba unavyoendeshwa kwa mwendo wa upole hata hivyo kamati hiyo inayoongozwa na abdikadir mohammed ilisema kuwa ina imani kwamba miswada yote itapitishwa kwa wakati ufaao kufuatia kuchapishwa kwa miswada miwili hii leo huku miswada mengine sita ikitarajiwa kujadiliwa na baraza la mawaziri mapema wiki ijayo
Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in