Arusha ICTR challenges - swahili

Wannabes
Licha ya kuwa mahakama za kimataifa zilibuniwa kutoa haki kwa wanyonge duniani, zimepokea upinzani mkubwa. Walioshtakiwa au kushukiwa kutekeleza uhalifu wa kibinadamu wamedai kuwepo kwa mapendeleo katika uendeshaji wa shughuli za mahakama hizo, na hata ile ya icc haijaponea katika madai haya. Mwanahabari wetu esther kahumbi ambaye alikuwa jijini arusha katika mahakama ya kimataifa ya rwanda alizungumza na mawakili wa utetezi na wanaelezea changamoto za mahakama za kimataifa
Enterprise
Premium Consumer spending shoots up on higher prices
Business
CS Miano flags off first locally assembled electric buses
Business
No reprieve for bank in Sh33 billion case with Manchester Outfitters
Opinion
Premium Sugar cane farmers should now move to dairy, avocado farming