Huenda sheria za Idara ya Polisi zikafanyiwa marekebisho ili kuwazuia maafisa wa polisi kuwa na mahusiano ya kimapenzi.
Waziri wa Masuala ya Ndani ya Nchi Dakta Fred Matiang'i hatua hiyo itapunguza visa vya mauaji miongoni mwa maafisa hao ambavyo vimeendelea kukithiri.