×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Nairobi, Mombasa na Mandera kufungwa kwa siku 30

Matarajio ya wengi kwamba Rais Uhuru Kenyatta angelegeza masharti ya Kudhibiti Maambukizi ya Korona kwa lengo la kufufua uchumi wa taifa, yamepata pigo baada ya masharti hayo kuongezwa.

Tukianza na mafuku ya kusafiri kwenye kaunti mbalimbali - Marufuku ya kuingia na kutoka kaunti za Nairobi,  Mombasa na Mandera yameongezwa kwa siku nyingine thelathini huku Kilifi na Kwale zikifunguliwa kuanzia kesho saa kumi alfajiri.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in