Msajili wa vyama vya kisiasa Ann Nderitu amesema bado Moses Wetang'ula ndiye Kinara halisi wa chama cha Ford Kenya.
Akizungumza na wanahabari, Nderitu amesema Wetangula ataendelea kuwa kinara wa chama hicho hadi wanachama watakapotatua mgogoro unaoshuhudiwa miongoni mwao.