The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kenya imeendelea kurekodi idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya korona, leo hii watu mia moja arubaini na saba wakithibitishwa kuambukziwa katika saa ishirini na nne zilizopita.
Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema idadi hii kubwa mechangiwa na idadi kubwa ya sampuli zinazopimwa kwa muda uo huo. Mia moja arubaini na saba hao ni miongoni mwa watu elfu mbili mia anane thelathini na tisa waliopimwa hivyo kufikisha elfu moja mia sita kumi na nane idadi jumla ya maambukizi nchini.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.