×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Watu wengine 147 wathibitishwa kuambukziwa virusi vya korona nchini.

Kenya imeendelea kurekodi idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya korona, leo hii watu mia moja arubaini na saba wakithibitishwa kuambukziwa katika saa ishirini na nne zilizopita.

Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema idadi hii kubwa mechangiwa na idadi kubwa ya sampuli zinazopimwa kwa muda uo huo. Mia moja arubaini na saba hao ni miongoni mwa watu elfu mbili mia anane thelathini na tisa waliopimwa hivyo kufikisha elfu moja mia sita kumi na nane idadi jumla ya maambukizi nchini. 

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in