×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Watu wengine 147 wathibitishwa kuambukziwa virusi vya korona nchini.

Kenya imeendelea kurekodi idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya korona, leo hii watu mia moja arubaini na saba wakithibitishwa kuambukziwa katika saa ishirini na nne zilizopita.

Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema idadi hii kubwa mechangiwa na idadi kubwa ya sampuli zinazopimwa kwa muda uo huo. Mia moja arubaini na saba hao ni miongoni mwa watu elfu mbili mia anane thelathini na tisa waliopimwa hivyo kufikisha elfu moja mia sita kumi na nane idadi jumla ya maambukizi nchini. 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902