×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Taharuki imetanda Narok baada ya mtu kuuliwa katika mapigano ya kikabila

Mtu mmoja ameuliwa huku kadhaa wakilazwa katika Kaunti za Narok na Nakuru baada ya kujeruhiwa vibaya kufuatia makabiliano makali baina ya wakazi na wezi wa mifugo.

Katika Kaunti ya Nakuru mwanamume mmoja amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Nakuru baada ya kufumwa mshale ambao umekwama mgongoni huku wengine watatu wakilazwa katika Hospitali ya Olenguruone wakiwa na majeraha mbalimbali. Wanne hao wamejeruhiwa katika makamiliano ya kikabila katika eneo la Olposimoru.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in