Chama cha Maendeleo ya Wanawake humu nchini kimepongeza mabadiliko ambayo yametekelezwa katika uongozi wa Chama cha Jubilee katika Bunge la Seneti.
Viongozi wa chama hicho aidha wamesifia ushirikiano mpya baina ya Chama cha Jubilee na Kanu wakisema kuwa ushiriano huo utaleta mwelekeo katika siasa za humu nchini.