Waziri wa Huduma za Umma na Masula ya Vijana na Jinsia, Margret Kobia amemtetea Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Nairobi, Esther Passaris dhidi ya makabiliano ya maneno baina yake na Gavana Mike Sonko wakati wa hafla ya Madaraka.
Utetezi huu unajiri baada ya Sonko kuendelea kumkejeli Passairis katika mitandao ya kijamii licha ya kumkashifu wakati wa maadhimisho hayo ya kitaifa.