Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Kenyatta aongoza hafla ya maombi leo

Leo hii viongozi mbalimbali nchini na hata wa mataifa mengine wameshiriki Maombi ya Kitaifa awamu ya kumi na saba katika Hoteli ya Safari Park jijini Nairobi huku masuala mbalimbali yakiangaziwa yakiwamo upendo, amani, na ufisadi. Wabunge, wawakilishi wadi na waimbaji wamewatumbuiza wageni zaidi ya elfu tatu waliohudhuria kwa nyimbo aina aina. Rais Uhuru Kenyatta amesisitiza kwamba vita dhidi ya ufisadi vitaendelea bila kumsaza yeyote. Aidha Naibu wake William Ruto amejitetea dhidi ya kutoa michango makanisani kila uchao huku Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir Mayadid akimwomba Rais kushirikiana naye katika kudumisha amani Sudan Kusini. 

Viongozi mbalimbali waliopata fursa ya kuzungumza wamesisitiza suala la kulikabili ufisadi. Naibu wa Rais William Ruto, akizishauri idara za uchunguzi kuzidisha vita hivyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902