The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Leo hii viongozi mbalimbali nchini na hata wa mataifa mengine wameshiriki Maombi ya Kitaifa awamu ya kumi na saba katika Hoteli ya Safari Park jijini Nairobi huku masuala mbalimbali yakiangaziwa yakiwamo upendo, amani, na ufisadi. Wabunge, wawakilishi wadi na waimbaji wamewatumbuiza wageni zaidi ya elfu tatu waliohudhuria kwa nyimbo aina aina. Rais Uhuru Kenyatta amesisitiza kwamba vita dhidi ya ufisadi vitaendelea bila kumsaza yeyote. Aidha Naibu wake William Ruto amejitetea dhidi ya kutoa michango makanisani kila uchao huku Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir Mayadid akimwomba Rais kushirikiana naye katika kudumisha amani Sudan Kusini.
Viongozi mbalimbali waliopata fursa ya kuzungumza wamesisitiza suala la kulikabili ufisadi. Naibu wa Rais William Ruto, akizishauri idara za uchunguzi kuzidisha vita hivyo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.