The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Rais Uhuru Kenyatta sasa analenga ushirikiano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Makazi ili kufanikisha ajenda ya serikali kuhusu makazi ya bei nafuu.
Rais Kenyatta amesema licha ya kwamba hatua mahususi zimepigwa katika kufanikisha ajenga nne za serikali, uhaba wa makaazi unaendelea kuwa changamoto kwa serikali yake.
Akizungumza kwenye Ukumbi wa KICC wakati wa mkutano wa UN -Habitat, Rais amesema pana haja kwa wanachama wote 36 wa muungano huo kushirikiana ili kuimarisha makazi.
Rais aidha ameonesha utayarifu wa serikali kutekeleza ajenda zake nne kuu kabla ya kukamilika kwa muhula wake.
Amelalamikia ukuaji wa kasi wa mitaa ya mabanda akisema imechangia kwenye uharibifu wa mazingira nchin.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.