×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Raila akiri kusafiri kuelekea nchini Dubai

Sakata kuhusu biashara ya dhahabu bandia humu nchini imechukua mkondo mwingine huku Kinara wa Chama cha ODM, Raila Odinga akisema ndiye aliyefichua sakata hiyo. Raila amekiri kwamba alisafiri kuelekea nchini Dubai ili kuzungumza na mkuu wa milki za kiarabu, Sheikh Mohammed Bin Rahid Ali kuhusu suala hilo na kwamba alikuwapo wakati walaghai walipofanya mawasiliano ya simu ambayo yaliwahusisha viongozi mbalimbali.

Akizungumza katika halfa moja mjini Kisii, Raila amesema kwamba alimweleza Ali kuwa Waziri wa Masuala ya Ndani ya Nchi, Fred Matikang'i ambaye ni miongoni mwa waliotajwa kuwa ambao wangeweza kushinikiza kuachiliwa kwa dhahabu iliyonaswa asingeweza  kufanya hivyo na kwamba mazungumzo yaliyonaswa kuhusu uwezekano wa watu fulani serikali kushawishi kuachiliwa kwa dhahabu hiyo yalifanywa na walaghai.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

fake gold scandal