×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Gavana wa Meru ateteta matumizi ya fedha mbele ya seneti

Gavana wa Meru, Kiraitu Murungi amefika mbele ya Kamati ya Uhasibu wa Fedha katika Bunge la Seneti, ili kueleza kuhusu matumizi ya fedha katika serikali yake kufuatia Ripoti ya Mkaguzi wa Bajeti kwenye mwaka wa kifedha 2017/2018.

Miongoni mwa maswali aliyofaa kujibu ni likiwamo lile la rekodi za matumizi ya fedha katika Mfumo wa IFMIS, ambapo ilibainika kuwa dosari zilizokuwapo zilisababishwa na ukosefu wa ufahamu wa maafisa wa serikali ya Meru kuhusu jinsi ya kuhifadhi taarifa hizo katika mfumo huo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics