×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

DCI wanzisha uchunguzi dhidi ya mameneja na makamishna wa Kra.

Maafisa wa DCI wanaochunguza sakata ya ukwepaji kulipa kodi katika Mamlaka ya Ukusanyaji Kodi, KRA sasa wameanzisha uchunguzi dhidi ya mameneja wakuu na makamishna wa Mamlaka hiyo.

Mkuu wa DCI George Kinoti amesema kwamba uchunguzi huo hautamsaza yeyote na kwamba lengo kuu ni kuwaajibisha maafisa hao ambao wamelemaza lengo la serikali kukusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa walipa kodi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902