The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Maafisa wa DCI wanaochunguza sakata ya ukwepaji kulipa kodi katika Mamlaka ya Ukusanyaji Kodi, KRA sasa wameanzisha uchunguzi dhidi ya mameneja wakuu na makamishna wa Mamlaka hiyo.
Mkuu wa DCI George Kinoti amesema kwamba uchunguzi huo hautamsaza yeyote na kwamba lengo kuu ni kuwaajibisha maafisa hao ambao wamelemaza lengo la serikali kukusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa walipa kodi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.