×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Wafanyakazi kusubiri kwa muda kabla ya kujua iwapo wataongezewa mishahara au la

Wafanyakazi nchini watalazimika kusubiri kwa muda zaidi kabla ya kujua iwapo wataongezewa mishahara au la. Ilitarajiwa kwamba huenda serikali ingetengaza nyongeza hiyo wakati wa maadhimisho ya Leba Dei. Hata hivyo, Waziri wa Leba Ukur Yattani aliyemwakilisha Rais Uhuru Kenyatta, amesema mazungumzo yatafanyika wiki hii baina ya serikali na washikadau mbalimbali kuhusu suala hilo suala ambalo limewaghadhabisha wafanyakazi.

Akihutubu wakati wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi, Waziri wa Leba Ukur Yattani amesema mazungumzo hayo ndiyo yatakayobaini iwapo wafanyakazi wataongezwa mishahara au la.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in