Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Jonathan Toroitich Moi mwanawe wa kwanza wa Rais Mstaafu Moi, amefariki dunia

Familia ya Rais Mstaafu, Daniel Arap Moi inaendelea kuomboleza kufuatia kifo cha mwana wa rais huyo mstaafu, Jonathan Toroitich. Jonathan atakumbukwa kwa kushiriki mashinadani ya magari ya safari rally pamoja hasa wakati wa sherehe za Pasaka. Tayari viongozi mbalimbali wameanza kutuma risala za rambirambi kwa familia ya Rais huyo mstaafu. Rais Msytaafu Mwai Kibaki anewaongoza viongozi mbalimbali kutuma risala za rambirambi.

 Katika taarifa ya familia iliyotumwa kwa vyombo vya habari na Seneta wa Baringo, Gideon Moi, familia hiyo imemtaja Jonathan kuwa atakayekumbukwa na wengi kwa kushiriki mbio za mashindano ya safari rali kwa miaka mingi ambayo mara nyingi yaliandaliwa wakati wa sherehe za pasaka. Hii hapa sauti ya magari yaliyoshiriki mashindano hayo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

KIFO SAFARI MOI