The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Familia ya Rais Mstaafu, Daniel Arap Moi inaendelea kuomboleza kufuatia kifo cha mwana wa rais huyo mstaafu, Jonathan Toroitich. Jonathan atakumbukwa kwa kushiriki mashinadani ya magari ya safari rally pamoja hasa wakati wa sherehe za Pasaka. Tayari viongozi mbalimbali wameanza kutuma risala za rambirambi kwa familia ya Rais huyo mstaafu. Rais Msytaafu Mwai Kibaki anewaongoza viongozi mbalimbali kutuma risala za rambirambi.
Katika taarifa ya familia iliyotumwa kwa vyombo vya habari na Seneta wa Baringo, Gideon Moi, familia hiyo imemtaja Jonathan kuwa atakayekumbukwa na wengi kwa kushiriki mbio za mashindano ya safari rali kwa miaka mingi ambayo mara nyingi yaliandaliwa wakati wa sherehe za pasaka. Hii hapa sauti ya magari yaliyoshiriki mashindano hayo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.