The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
kisa ambacho kimezua gumzo kuu ncini ni cha wasichana ambao ishara zote zinaoesnha kwamba ni pacha licha ya kulelewa na wazazi wawili tofauti tofauti. Melon, Sharon na Mevis wamejipata katika njia panda kuhusu mustakabli kufuatia matokeo ya uchunguzi wa DNA yanayosubiriwa akdhalika upelelezi wa DCI. Mama zao Rosmary Kaheveri na Angelina Obima nao vilevile wako katika hali iyo hiyo wasifahamu jinsi watakavyoishi.
Ishara zote ni kwamba wazazi waliwalea wano kwa kujituma na kuwapa mapenzi tele ndiposa hakuna anayelalamika kadhalika wote wanaendeleza masomo yao huku Sharon Mathias ambaye amelelewa jijini akiwa mmoja wa viongozi wa wanafunzi shuleni mwake.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.