The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Madaktari wawili wa Cuba ambao wamekuwa wakihudumu kwenye Kaunti ya Lamu tangu mwezi Julai mwaka jana, wamehama wakihofia usalama wao, siku chache tu baada ya wenzao wawili kutekwa nyara Mjini Mandera . Imethibitishwa kwamba wawili hao wameondoka kwenye Kaunti hiyo wekendi hii.
Kamishana wa Lamu Joseph Kanyiri, amepuuzilia mbali suala hilo akisema wawili hao wameitwa Jijini Nairobi kuhusu maswala ya kazi yao. Aidha amedokeza kwamba Lamu ni salama ikilinganishwa na Mandera.
Waziri wa afya kwenye Kaunti la Lamu Anne Gathoni, amethibitisha kwamba madaktari hao wamehama sehemu hiyo, lakini amekanusha madai kwamba kuondoka kwao hakuhusiani na swala la ukosefu wa usalama.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.