Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Madaktari wawili wa Cuba ambao wamekuwa wakihudumu kwenye Kaunti ya Lamu , wahama kwa kuhofia usalama wao

Madaktari wawili wa  Cuba  ambao wamekuwa wakihudumu kwenye  Kaunti ya  Lamu tangu mwezi Julai mwaka jana, wamehama wakihofia usalama wao, siku chache tu baada ya wenzao wawili kutekwa nyara Mjini Mandera . Imethibitishwa kwamba wawili hao wameondoka kwenye Kaunti hiyo wekendi hii.

Kamishana wa Lamu Joseph Kanyiri,  amepuuzilia mbali suala hilo akisema wawili hao wameitwa Jijini Nairobi kuhusu maswala ya kazi  yao.  Aidha amedokeza kwamba Lamu ni salama ikilinganishwa na Mandera.

Waziri wa afya kwenye Kaunti la Lamu Anne Gathoni, amethibitisha kwamba madaktari hao wamehama sehemu hiyo, lakini amekanusha madai kwamba kuondoka kwao hakuhusiani na swala la ukosefu wa  usalama.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics