Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Wakuu wa KNUT wamefika mbele ya kamati ya bunge ya elimu kuzungumzia uhamisho wa walimu

Wawakilishi wa Chama cha Kitaifa cha Walimu, KNUT wamefika mbele ya Kamati ya Elimu ya Bunge la Kitaifa kuzungumzia mpango wa kuwahamisha walimu wakuu hadi kwenye maeneo mengine nchini ambao wameibua masuala kadhaa ambayo hayawaridhishi kuhusu mpango huo.
Miongoni mwa masuala haya ni kuwapa walimu wakuu uhamisho hadi kwenye maeneo ya mbali hali inayoibua changamoto kuu ya mawasiliano baina ya walimu hao na wakazi kutokana na tofauti za lugha. Clement Omollo ni Katibu Msaidzi a chama hicho
 
Hata hivyo mmoja wa wanakamati hiyo ya elimu amesema pingamizi zinazoibuliwa na walimu kuhusu uhamisho huenda zikawanyima fursa za kazi kwenye maeneo mengine ya nchi iwapo hawako tayari kwa uhamisho jambo ambalo limepingwa na maafisa wa KNUT.
 
Mwenyekiti wa kamati hiyo. Julius Melly amesema masuala  yaliyoibuliwa na walimu yatatathimiwa kwa kina na mapendekezo yao kuwasilishwa kwa mwajiri wao.
 
 
Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics