The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wawakilishi wa Chama cha Kitaifa cha Walimu, KNUT wamefika mbele ya Kamati ya Elimu ya Bunge la Kitaifa kuzungumzia mpango wa kuwahamisha walimu wakuu hadi kwenye maeneo mengine nchini ambao wameibua masuala kadhaa ambayo hayawaridhishi kuhusu mpango huo.
Miongoni mwa masuala haya ni kuwapa walimu wakuu uhamisho hadi kwenye maeneo ya mbali hali inayoibua changamoto kuu ya mawasiliano baina ya walimu hao na wakazi kutokana na tofauti za lugha. Clement Omollo ni Katibu Msaidzi a chama hicho
Hata hivyo mmoja wa wanakamati hiyo ya elimu amesema pingamizi zinazoibuliwa na walimu kuhusu uhamisho huenda zikawanyima fursa za kazi kwenye maeneo mengine ya nchi iwapo hawako tayari kwa uhamisho jambo ambalo limepingwa na maafisa wa KNUT.
Mwenyekiti wa kamati hiyo. Julius Melly amesema masuala yaliyoibuliwa na walimu yatatathimiwa kwa kina na mapendekezo yao kuwasilishwa kwa mwajiri wao.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.