×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Magavana wamezindua mpango wa kutoa msaada kufuatia baa la njaa

Magavana wamezindua mpango wa kutoa msaada wa fedha na vyakula mbalimbali ili kuwasaidia waathiriwa wa baa la njaa kwenye kaunti zinazoathiriwa na ukame.

Mwenyekiti wa Baraza la Magavana, Wycliffe Oparanya amedokeza kwamba kila kaunti nchini itatoa shilingi milioni moja ili kuzisaidia kaunti 17 ambazo zimeathirika zaidi.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in