The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mshirikishi wa Utawala eneo la Pwani John Elungata ameonya kukabiliwa kwa mujibu wa sheria vijana ambao wamekuwa wakiwauwa wazee kwa dhana kwamba ni wachawi.
Kulingana na Elungata suala hilo limekuwa likichochewa na masuala tofauti ukiwamo urithi wa mali ambayo yamekuwa yakimilikiwa na wazee.
Elungata amewahimiza wakazi wa Pwani kushirikiana na Idara ya Usalama katika vita dhidi ya suala hilo linaloendelea kukithiri.
Hayo yanajiri huku ikibainikwa kwamba zaidi ya wazee 60 kwenye Kaunti ya Kilifi pekee wameuliwa kufuatia shutuma hizo, Wadi ya Mwawesa iliyo eneo bunge la Rabai ikitajwa kuongoza kwenye visa hivyo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.