Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Msako wa vijana wanaowauwa wazee kwa dhana kwamba ni wachawi unaendelea

Mshirikishi wa Utawala eneo la Pwani John Elungata ameonya kukabiliwa kwa mujibu wa sheria vijana ambao wamekuwa wakiwauwa wazee kwa dhana kwamba ni wachawi.
 

Kulingana na Elungata suala hilo limekuwa likichochewa na masuala tofauti ukiwamo urithi wa mali ambayo yamekuwa yakimilikiwa na wazee.

Elungata amewahimiza wakazi wa Pwani kushirikiana na Idara ya Usalama katika vita dhidi ya suala hilo linaloendelea kukithiri.

Hayo yanajiri huku ikibainikwa kwamba zaidi ya wazee 60 kwenye Kaunti ya Kilifi pekee wameuliwa kufuatia shutuma hizo, Wadi ya Mwawesa iliyo eneo bunge la Rabai ikitajwa kuongoza kwenye visa hivyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics