Watu 14 wanahofiwa kuaga dunia kufuatia ajali mbaya

Takriban watu 14 wanahofiwa kuaga dunia kufuatia ajali mbaya ya barabara iliyotokea katika eneo la Kikopey barabara ya Nakuru- Nairobi. Ajali hiyo imetokea baada ya Lori kugongana ana kwa ana gari lililokuwa limewababewa 14 hao.

Ajali hiyo hiyo vile ilihusisha magari mengine manne.

Related Topics