×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Dawa za serikali zapatikana zikiuzwa Transzoia

Polisi kwenye Kaunti ya Trans Nzoia wamefainiwa kuzinasa dawa za thamani isiyojulikana katika hospitali moja binafsi zinazodaiwa kuibwa kutoka katika hifadhi ya serikali ya kaunti.

Mkuu wa Polisi wa Kiminini, Stephen Tumbo ameongoza oparesheni katika Hospitali ya Kiminini Cottage na kufanikiwa kuyanasa masanduku 167 yaliyokuwa na dawa hizo zilizokuwa na nembo ya Hospitali ya Rufaa ya Kitale. Afisa mmoja wa cheo cha juu katika hospitali hiyo na dereva ni miongoni mwa waliokamatwa kwa kuhusishwa na wizi wa dawa hizo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics