×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Mchakato wa kukusanya saini ili kuvunjwa kwa Bunge la Kaunti ya Mombasa unaendelea huku Mashirika ya Kijamii yakisema kwamba Gavana Joho hana mamlaka Kikatiba kulivunja bunge hilo.

Mchakato wa kukusanya saini ili kuvunjwa kwa Bunge la Kaunti ya Mombasa unaendelea huku Mashirika ya Kijamii yakisema kwamba Gavana Joho hana mamlaka Kikatiba kulivunja bunge hilo.

Kulingana na mashirika hayo, gavana Joho amekuwa akiwahujumu wawakilishi wadi hasa wanapoukosoa uongozi wake. Wawakilishi wadi hao wameshauriwa kuhakikisha wanaendesha shughuli zao bila kutishwa na yeyote.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in