×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Kamati ya Elimu ya Bunge la Kitaifa imewahoji washikadau mbalimbali wa sekta ya elimu kuhusu masuala muhimu ya sekta hiyo.

Kamati ya Elimu ya Bunge la Kitaifa imewahoji washikadau mbalimbali wa sekta ya elimu kuhusu masuala muhimu ya sekta hiyo. Miongoni mwa wale ambao wamefika mbele ya kamati hiyo ni Muungano wa Kitaifa wa Walimu Wakuu wa Shule za Upili KESHA na Chama cha Kitaifa cha Wazazi.

 Kamati hiyo imejadili ripoti ya washikadau hao kuhusu mtalaa mpya wa elimu ambao umeanza kutekelezwa mwaka huu, kiwango cha fedha kinachotengewa shule za umma na serikali na mpango wa kuvisambaza vitabu vya kiada katika shule hizo za umma na mpango wa kuwahamisha walimu.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Kamati Elimu Bunge