×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Prof George Magoha aidhinishwa rasmi na bunge kuwa waziri

Bunge limeidinisha  uteuzi wa Profesa George Magoha kuwa waziri mpya wa Elimu. Kiongozi wa wachache kwenye bunge la Kitaifa John Mbadi, amewasilisha ripoti na mapendekezo kuhusu uteuzi huo baada ya kumchuja Magoha juma lililopita.


Bunge sasa litajadili mapendekezo ya kamati hiyo kuhusu uteuzi wake kesho alasiri. Alipofika  mbele ya Kamati  ya Uteuzi  Magoha alisema anatajriba na uzoefu wa kutosha katika nyanja ya elimu ambapo amehudumu kwa muda mrefu.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics