Maafisa wa Kiktengo cha Flying Squad wamekita kambi katika Benki ya Barclays Tawi la Queens, Jijini Nairobi, kuchunguza kupatikana kwa shilingi bilioni 17, fedha bandia zinazodaiwa zilikuwa zikipelekwa katika benki hiyo.
Tayari washukiwa watatu ambao ni Wakenya wawili na raia mmoja wa kigeni wamekamatwa kwa kuhusishwa na fedha hizo.