×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

NEMA yapiga marufuku mifuko

Mamlaka ya Kitaifa ya Utunzi wa Mazingira, NEMA imepiga marufuku mifuko inayotumika kwasasa katika maduka mbalimbali  ambayo iliidhinishwa kutumika baada ya kupigwa marufuku kwa karatasi za plastiki mwezi Agosti mwaka uliopita.

Kwa mujibu wa tangazo la NEMA, marufuku hiyo itaanza kutekelezwa tareje 13 mwezi Machi mwaka huu na yeyote atakayepatikana akitengeneza, kuuza au kutumia mifuko hiyo atakabiliwa kisheria.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics