×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Joho ajitetea mbele ya Kamati ya Seneti

Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho amejitetea mbele ya Kamati ya Seneti  iliyobuniwa kutatua   mzozo wa kisiasa kati yake na wawakilishi wadi wa Bunge la Mombasa. Mzozo huo uliibuka baada ya Joho kudaiwa kuwa na mpango wa kuwabandua wawakilishi wadi suala ambalo amelikana vikali.

Joho amejitetea vikali dhidi ya madai hayo amesema kilichopo kwa sasa ni mvutano baina ya Spika wa Bunge na baadhi ya maafisa katika serikali.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics