×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Joho ajitetea mbele ya Kamati ya Seneti

Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho amejitetea mbele ya Kamati ya Seneti  iliyobuniwa kutatua   mzozo wa kisiasa kati yake na wawakilishi wadi wa Bunge la Mombasa. Mzozo huo uliibuka baada ya Joho kudaiwa kuwa na mpango wa kuwabandua wawakilishi wadi suala ambalo amelikana vikali.

Joho amejitetea vikali dhidi ya madai hayo amesema kilichopo kwa sasa ni mvutano baina ya Spika wa Bunge na baadhi ya maafisa katika serikali.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics