The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mhubiri mwenye utata wa Kanisa la Neno Evangelism, James Ng'ang'a anahojiwa katika Makao Makuu ya Idara ya Upelelezi DCI, baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo kwa kumtishia maisha mwanahabari wa runinga ya Citizen Linus Kaikai.
Mhubiri huyo alikamatawa baada ya Kaikai kurekodi taarifa katika DCI kufuatia tisho la Ng'ang'a ambaye anatarajiwa kuwasilishwa mahakamani baadaye leo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.