×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Mhubiri James Ng'ang'a aendelea kuhojiwa katika Makao Makuu ya Idara ya Upelelezi DCI

Mhubiri mwenye utata wa Kanisa la Neno Evangelism, James Ng'ang'a anahojiwa katika Makao Makuu ya Idara ya Upelelezi DCI, baada ya kukamatwa usiku wa kuamkia leo kwa kumtishia maisha mwanahabari wa runinga ya Citizen Linus Kaikai.

Mhubiri huyo alikamatawa baada ya Kaikai kurekodi taarifa katika DCI kufuatia tisho la Ng'ang'a ambaye anatarajiwa kuwasilishwa mahakamani baadaye leo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics