×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Wanafunzi kadhaa wa Shule ya Kitaifa ya Upili ya Wasichana ya Nyabururu walazwa

Wanafunzi kadhaa wa Shule ya Kitaifa ya Wasichana ya Nyabururu Kaunti ya Kisii wamelazwa katika hospitali mbalimbali baada ya kula chakula chenye sumu.  Hata hivyo baadhi wametibiwa na kuruhusiwa kuondoka.

Baadhi ya wanafunzi ambao hawakutaka watajwe wamesema walionywa dhidi ya kuwaeleza wazazi wao, la si hivyo wangeadhibiwa wakati wangefika shuleni na kwamba shule ingegharamia matibabu yao. 

Afisa mmoja wa afya  wa hospitali ya Nyangena ambaye pia hakutaja kutajwa amesema jumla ya wanafunzi ishirini wametibiwa tangu walipowasilishwa Alhamisi. Amesema wamebaini kuwa waliokuwa wakiugua walikula chakula ambacho hakikuwa salama.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in