The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wanafunzi kadhaa wa Shule ya Kitaifa ya Wasichana ya Nyabururu Kaunti ya Kisii wamelazwa katika hospitali mbalimbali baada ya kula chakula chenye sumu. Hata hivyo baadhi wametibiwa na kuruhusiwa kuondoka.
Baadhi ya wanafunzi ambao hawakutaka watajwe wamesema walionywa dhidi ya kuwaeleza wazazi wao, la si hivyo wangeadhibiwa wakati wangefika shuleni na kwamba shule ingegharamia matibabu yao.
Afisa mmoja wa afya wa hospitali ya Nyangena ambaye pia hakutaja kutajwa amesema jumla ya wanafunzi ishirini wametibiwa tangu walipowasilishwa Alhamisi. Amesema wamebaini kuwa waliokuwa wakiugua walikula chakula ambacho hakikuwa salama.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.