Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Wanafunzi kadhaa wa Shule ya Kitaifa ya Upili ya Wasichana ya Nyabururu walazwa

Wanafunzi kadhaa wa Shule ya Kitaifa ya Wasichana ya Nyabururu Kaunti ya Kisii wamelazwa katika hospitali mbalimbali baada ya kula chakula chenye sumu.  Hata hivyo baadhi wametibiwa na kuruhusiwa kuondoka.

Baadhi ya wanafunzi ambao hawakutaka watajwe wamesema walionywa dhidi ya kuwaeleza wazazi wao, la si hivyo wangeadhibiwa wakati wangefika shuleni na kwamba shule ingegharamia matibabu yao. 

Afisa mmoja wa afya  wa hospitali ya Nyangena ambaye pia hakutaja kutajwa amesema jumla ya wanafunzi ishirini wametibiwa tangu walipowasilishwa Alhamisi. Amesema wamebaini kuwa waliokuwa wakiugua walikula chakula ambacho hakikuwa salama.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News